
Soudy Brown Aamua Kujihami Baada ya Kutoa Taarifa Tata Mimba ya Wema Sepetu.......
Awauliza Timu Wema Maswali Haya "True love never ends?
Kama kesho nikianguka je bado Utanipenda?
kama sitonukia harufu nzuri je utakubali kuni kumbatia?
Kama nikifungwa jela mda mrefu je utakuja kuniliwaza au utanikimbia kama baadhi ya rafiki zangu?
je uki shauriwa na Washkaji zako uniache je utanitupa?
are you my soulmate? Cause if so girl you're blessing,
Ukigundua nilikudanganya, je utaniacha au utani samehe? " Soudy Brown
No comments:
Post a Comment