Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Television, Ray C amesema mama yake hana amani kutokana na mambo yanayo andikwa kwenye magazeti ya udaku.
“Mimi naweza nikasema nakushtaki, wewe una hela zaidi na unaweza ukanishinda, your powerful get a gun watu wanifyatue na wampige mama yangu, maana mama yangu yupo hospitali ana presha kwa sababu ya gazeti yake,” alisema Ray.
No comments:
Post a Comment